2 Chronicles 20:21

21 aAlipomaliza kushauriana na watu, Yehoshafati akawaweka watu wa kumwimbia Bwana na kumsifu katika utukufu wa utakatifu wake walipokuwa wametangulia mbele ya jeshi, wakisema:

“Mshukuruni Bwana
kwa kuwa upendo wake wadumu milele.”
Copyright information for SwhNEN